Jumapili wanajeshi wa utawala haramu wa Israel waliushambulia na kuuvunjia heshima tena Msitiki wa al Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu suala lililozusha mapigano makali baina ya askari hao na Waislamu waliokuwa msikiti hapo wakitekeleza ibada.
Habari ID: 3372690 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/28